Jumamosi, 20 Januari 2018

Mbolea ya asili isiyo na kemikali

MBOLEA YA ASILI
MBOLEA VUNDE
1. Namna ya kutayarisha Mboji/Mbolea Vunde/
Mbolea Hai
Mboji ni sehemu ya viumbe (mabaki ya
mimea na wanyama (matamahuruku))
ambayo imeozeshwa kwa muda mrefu
ili kusazwa na viumbe vidogo vidogo.
Sehemu za vitu kama majani, matunda
na mabaki ya mboga hutengeneza
mbolea ya mboji. Matokeo ya kusazwa
huku ni tofauti kabisa na zile sehemu
zilizowekwa. Mboji iliyoiva hubadilika
rangi na kuwa ya hudhurungi, tifutifu
na hunukia vizuri.
Mboji ni rahisi kutengeneza, gharama
zake ni za chini sana na inafaa mno
kuongezwa kwenye udongo ili kuinua
mazao ya shamba.
Vipande vya vitu au sehemu ya viumbe
mara nyingi huwa vimejazwa
nyumbani au shambani bila mpangilio
wowote. Hivi vinaweza kutumika
kutengenezea mboji lakini itachukua
muda mrefu kabla ya kuoza, na hivyo
rotuba yake kupotea. Lakini kama muda
ukitengwa ili kushugulikia mbolea
matokeo yatakuwa mazuri na ya kufaa.
Mabaki kutoka shambani na jikoni
yanatumika katika kutengenezea mboji.
Mboji iliyotunzwa vyema huwa na
rutuba nzuri kwa mimea inapotumiwa
shambani. Mboji huchemka hata kiasi
cha kuua magonjwa ya mimea na
mbegu za magugu.
Majani makavu ya ndizi ni mazuri kwa
kutunza vifaa vya mbolea na kuweka
ukavu. Hali hii huwa huzuia kupotea
kwa maji kabla ya kujenga lundo la
mboji na wakati mbolea inapokuwa
inaiva.
1.1 Vifaa visivyofaa kuwekwa kwenye mboji
  Sehemu za mimea ambazo
zimenyunyiziwa dawa ya kuwaua
wadudu (viuatilifu) na kwekwe juzijuzi
(Pesticide/herbicides).  Vipande vya
nyama kwa sababu vinavutia panya na
wadudu wengine. Sehemu nyingi za
Mboji ni sehemu ya viumbe (mabaki ya
mimea na wanyama (matamahuruku))
ambayo imeozeshwa kwa muda mrefu
ili kusazwa na viumbe vidogo vidogo.
Sehemu za vitu kama majani, matunda
na mabaki ya mboga hutengeneza
mbolea ya mboji. Matokeo ya kusazwa
huku ni tofauti kabisa na zile sehemu
zilizowekwa. Mboji iliyoiva hubadilika
rangi na kuwa ya hudhurungi, tifutifu
na hunukia vizuri. Maelezo ya msingi
kuhusu mboji/mbolea vunde/mbolea ,
Mboji ni rahisi kutengeneza, gharama
zake ni za chini sana na inafaa mno
kuongezwa kwenye udongo ili kuinua
mazao ya shamba. Vipande vya vitu au
sehemu ya viumbe mara nyingi huwa
vimejazwa nyumbani au shambani bila
mpangilio wowote. Hivi vinaweza
kutumika kutengenezea mboji lakini
itachukua muda mrefu kabla ya kuoza,
na hivyo rotuba yake kupotea. Lakini
kama muda ukitengwa ili kushugulikia
mbolea matokeo yatakuwa mazuri na
ya kufaa. Mabaki kutoka shambani na
jikoni yanatumika katika kutengenezea
mboji.  Mboji iliyotunzwa vyema huwa
na rutuba nzuri kwa mimea
inapotumiwa shambani. Mboji
huchemka hata kiasi mimea na majani
ambazo ziliambukizwa ugonjwa.  Vifaa
vilivyo na ncha kali kama mwiba
ambavyo vyaweza kujeruhi mikono na
miguu. Magugu ambayo yanarudiarudia
kila mwaka. Magugu kama hayo
huuliwa kwa kuanikwa kwenye jua kali
ili yakauke baadaye huchomwa ili
yasienee na jivu lake huongezwa kwenye
biwi, matunda na mabaki ya mboga hutengeneza
mbolea ya mboji. Matokeo ya kusazwa huku ni
tofauti kabisa na zile sehemu zilizowekwa. Mboji
iliyoiva hubadilika rangi na kuwa ya hudhurungi,
tifutifu na hunukia vizuri.
Mboji ni rahisi kutengeneza, gharama
zake ni za chini sana na inafaa mno
kuongezwa kwenye udongo ili kuinua
mazao ya shamba.
Vipande vya vitu au sehemu ya viumbe
mara nyingi huwa vimejazwa
nyumbani au shambani bila mpangilio
wowote. Hivi vinaweza kutumika
kutengenezea mboji lakini itachukua
muda mrefu kabla ya kuoza, na hivyo
rotuba yake kupotea. Lakini kama muda
ukitengwa ili kushugulikia mbolea
matokeo yatakuwa mazuri na ya kufaa.
Mabaki kutoka shambani na jikoni
yanatumika katika kutengenezea mboji.
Mboji iliyotunzwa vyema huwa na
rutuba nzuri kwa mimea inapotumiwa
shambani. Mboji huchemka hata kiasi
cha kuua magonjwa ya mimea na
mbegu za magugu.
Majani makavu ya ndizi ni mazuri kwa
kutunza vifaa vya mbolea na kuweka
ukavu. Hali hii huwa huzuia kupotea
kwa maji kabla ya kujenga lundo la
mboji na wakati mbolea inapokuwa
inaiva.
1.1 Vifaa visivyofaa kuwekwa kwenye mboji
  Sehemu za mimea ambazo
zimenyunyiziwa dawa ya kuwaua
wadudu (viuatilifu) na kwekwe juzijuzi
(Pesticide/herbicides).  Vipande vya
nyama kwa sababu vinavutia panya na
wadudu wengine. Sehemu nyingi za
Mboji ni sehemu ya viumbe (mabaki ya
mimea na wanyama (matamahuruku))
ambayo imeozeshwa kwa muda mrefu
ili kusazwa na viumbe vidogo vidogo.
Sehemu za vitu kama majani, matunda
na mabaki ya mboga hutengeneza
mbolea ya mboji. Matokeo ya kusazwa
huku ni tofauti kabisa na zile sehemu
zilizowekwa. Mboji iliyoiva hubadilika
rangi na kuwa ya hudhurungi, tifutifu
na hunukia vizuri. Maelezo ya msingi
kuhusu mboji/mbolea vunde/mbolea ,
Mboji ni rahisi kutengeneza, gharama
zake ni za chini sana na inafaa mno
kuongezwa kwenye udongo ili kuinua
mazao ya shamba. Vipande vya vitu au
sehemu ya viumbe mara nyingi huwa
vimejazwa nyumbani au shambani bila
mpangilio wowote. Hivi vinaweza
kutumika kutengenezea mboji lakini
itachukua muda mrefu kabla ya kuoza,
na hivyo rotuba yake kupotea. Lakini
kama muda ukitengwa ili kushugulikia
mbolea matokeo yatakuwa mazuri na
ya kufaa. Mabaki kutoka shambani na
jikoni yanatumika katika kutengenezea
mboji.  Mboji iliyotunzwa vyema huwa
na rutuba nzuri kwa mimea
inapotumiwa shambani. Mboji
huchemka hata kiasi mimea na majani
ambazo ziliambukizwa ugonjwa.  Vifaa
vilivyo na ncha kali kama mwiba
ambavyo vyaweza kujeruhi mikono na
miguu.huwa vimejaa nyumbani au
shambani bila mpangilio wowote. Hivi vinaweza
kutumika kutengenezea mboji lakini itachukua
muda mrefu kabla ya kuoza, na hivyo rotuba
yake kupotea. Lakini kama muda ukitengwa ili
kushugulikia mbolea matokeo yatakuwa mazuri
na ya kufaa. Mabaki kutoka shambani na jikoni
yanatumika katika kutengenezea mboji.
 Mboji iliyotunzwa vyema huwa na
rutuba nzuri kwa mimea inapotumiwa
shambani. Mboji huchemka hata kiasi
mimea na majani ambazo
ziliambukizwa ugonjwa.
 Vifaa vilivyo na ncha kali kama
mwiba ambavyo vyaweza kujeruhi
mikono na miguu.
 Magugu ambayo yanarudiarudia kila
mwaka. Magugu kama hayo huuliwa
kwa kuanikwa kwenye jua kali ili
yakauke baadaye huchomwa ili
yasienee na jivu lake laweza kuongezwa
kwenye lundo la mbolea.
 Vitu visivyo kua na uhai kama plastiki
na chuma.
1.2 Mfano wa vitu vinavyoweza kutumiwa
kutengenezea mboji nyumbani
2. Namna ya kutengeneza mboji ya mimea
Kusanya vitu na vifaa vinavyohitajika
katika utengenezaji wa mboji ambayo
ni;
 Majani mengi mabichi/kijani na
makavu. Majani jamii ya mikunde ni
mazuri sana kwani hutengeneza
kirutubishi cha naitrojeni (N) kwa
wingi.
 Mabua ya mahindi au vitawi vya miti
 Udongo wa kawaida wa juu
 Samadi, mbolea yoyote ya wanyama
au mboji ya zamani
 Majivu au vumbi la mkaa
 Maji
2.1 Hatua
1) Chagua sehemu karibu na eneo
ambalo mboji itaenda kutumika na
ambapo kuna hifadhi ya kutosha
kukinga dhidi ya upepo, jua na mvua.
2) Katakata majani yawe madogo
madogo ili yaweze kuoza haraka.
Tengeneza msingi kama mita sita (6)
urefu na upana wake mita 2 kwa
kutumia majani magumu kama matawi/
vijiti. Hii itahakikisha maji yanatiririka
na hewa ina zunguka vizuri. Hakikisha
kuna nafasi ya kutosha kufanyia kazi
kwenye biwi bila kulikanyaga.
3) Weka sentimita 10 ya majani ambayo
hayaozi haraka kwa mfano mabua vya
mahindi au mimea mibichi/kijani.
4) Weka sentimita 10 ya vifaa ambavyo
huoza haraka kwa mfano maganda ya
mboga na matunda.
5) Weka sentimita 2 ya samadi (mbolea-
hai ya wanyama), mabaki ya mbolea ya
zamani kama yaweza kupatikana.
6) Weka udongo wa juu sentimita 10
kutoka kwenye shamba ambalo
hulimwa.
7) Majivu na mkojo vyaweza
kunyunyuziwa juu ili kufanya biwi/
lundo kuoza haraka. Kukatakata majani
8) Nyunyizia maji kwenye biwi mpaka
lilowe.
9) Rudia mpangilio huu kuanzia namba
nne (4) mpaka lundo lifike mita moja
(1.m) hadi moja na nusu (1.5m) kwenda
juu isipokuwa vijiti/matawi ya kwanza.
2.2 Zingatia
 Biwi/lundo cha mboji kinatakiwa
kifunukwe ili kupunguza/kuzuia mvuke
ama mvua nyingi ambayo hubeba
rotuba kutoka kwenye mbolea. Weka
gunia, nyasi ama matawi ya ndizi
yaliyokauka.
 Kila tabaka/kunjo/safu yafaa
kupangwa kuanzia kwenye ukingo ili
lundo la mbolea lisiporomoke.
 Namna nyigine ya kuzuia lundo
kuporomoka ni kwa kuweka vipande
vya mbao kando ya biwi. Wavu wa
nyuzi za chuma utafanya biwi kukauka.
3. Wadudu wenye manufaa na mazingira
yanayohitajika kwenye Biwi
3.1 Wadudu ambao husaidia kufanya biwi kuoza
Viumbe wengi wanaohusika na kazi hii
ya kuoza ni wadogo hawaonekani kwa
macho matupu. Ila viumbe hawa
huhitaji maji, hewa na vipande/sehemu
ya viumbe wengine ambazo kwao ni
chakula. Viumbe hawa hula vipande
hivyo na hutoa hewa ya carbon dioxide ,
maji na joto.
Kuna hatua tatu kubwa wakati biwi
linapooza; hatua ya kupanda joto, hatua
ya kupoa/kuwa baridi na hatua ya
kukomaa.
Wakati ya hatua ya kupanda joto , joto
hufikia kiwango cha juu sana katikati
mwa biwi. Uzuri wa joto hili ni
kwamba magonjwa yaliyokuwa kwenye
viungo vya biwi na mbegu za magugu
huchomwa hadi kufa. Hatua ya pili ya
kuwa baridi; uyoga (fungi) huwa na
faida nyingi kwa sababu kazi yake ni
kuzisaga nyuzi ngumu ambazo zimo
kwenye viungo vya mimea au majani.
Kwenye hatua ya tatu, ‘ hatua ya
kukomaa’ viumbe wakubwa kama
mchwa na nyungunyungu husaidia
kusaga na kuchanganya mbolea.
Hali ya anga ikiwa na joto jingi viumbe
hawa hufanya kazi haraka kuliko
wakati ambapo hali ya anga ni baridi.
Aina ya viungo vilivyotumika kujenga/
kukuza biwi na ukali/uchungu (pH) wa
udongo pia huathiri kiwango cha
mbolea kuoza.
3.2 Mazingira yanayohitajika kwenye biwi
Biwi huhitaji vitu vitatu: hewa, maji na
joto.
Hewa
Viumbe wadogo kwenye biwi huhitaji
hewa ili waweze kuishi. Hewa ya
carbon dioxide (CO2) ambayo imetolewa
na wadudu hawa huhitaji kutolewa nje.
Ikiwa hewa safi itakosekana, viumbe
wengine wasiohitajika huingia na kutoa
harufu mbaya na pia kufanya mbolea
isioze haraka.
Maji
Kazi ya viumbe wadogo huwa polepole
ikiwa biwi ni kavu. Aidha ikiwa biwi
litalowa maji basi viumbe wadogo
watakufa na kufanya biwi kuwa na
uchachu badala ya kutengeneza mbolea.
Hivyo basi kukagua kiwango halisi cha
maji huhitaji ujuzi fulani.
Joto
Biwi hutoa joto wakati linaoza. Lundo
likiwa na joto jingi viumbe wadogo
hutoka, kisha huweza kurudi pindi
linapopoa.
4. Matunzo ya Biwi
Ili kupata mbolea nzuri, biwi
linapojengwa yafaa lishughulikiwe kwa
utaratibu. Biwi hilo litahitaji maji,
kupinduliwa, joto na muda unaofaa wa
kukomaa.
4.1 Maji
Wakati wa kiangazi biwi/lundo la mboji
huhitaji kumwagiliwa maji kila wiki.
Maji katika lundo la mbolea hupimwa
kwa kuweka fungu dogo la nyasi na
kulitoa baada ya dakika tano. Nyasi
isipoonyesha majimaji au unyevu
itabidi maji yamwagwe kwenye lundo
hilo.
Kuna njia kadha za kuzuia mvuke
kuinuka kutoka kwenye biwi, hali
kadhalika kiwango cha maji
yanayomwagiliwa:
 Funika lundo kwa majani ya ndizi
ama nyasi.
 Funika lundo kwa udongo.
 Lundo lisigeuzwegeuzwe
Biwi likilowa maji itabidi kifunuliwe na
kuachwa kikauke kwenye jua kabla ya
kujengwa tena.
4.2 Kupindua/kugeuza
Katika muda wa wiki tatu (3) baada ya
kujenga/kukuza biwi/lundo ukubwa
wake utakuwa umepungua sana.
Kupindua biwi uhakikishe ya kwamba
majani yaliyo kando yameoza pia hewa
safi imerejeshwa. Kupindua biwi
huchanganya majani yaliyotengenezwa
na kukijenga upya. Majani yalivyo
kando huwekwa katikati, ikiwa kuna
ukavu, maji mengi na majani/viungo
vikavu huongezwa. Kupindua
kunatikiwa kufanyike kila baada ya
wiki tatu.
Hali ya joto na kiwango cha maji yafaa
kupimwa siku chache baada ya
kupinduliwa. Kupinduliwa kwa mara ya
tatu kutahitajika ikiwa viungo
havitakuwa vimeoza kikamilifu.
Mbolea yaweza kutengenezwa bila kupinduliwa
ila viungo vilivyo kando havitaoza. Mbegu za
magugu na viungo na magonjwa ya mimea
hayatakufa. Viungo vilivyobaki hutengwa na
kutumiwa kwenye biwi lingine. Japokuwa
kugeuza hakuna lazima, kunapendekezwa ili
kupata mbolea nzuri.
4.3 Kiwango cha Joto
Kupima kiwango cha joto kwenye biwi kunahitaji
kijiti kirefu kichomwe ndani ya lundo siku kumi
(10) baada ya kujengwa. Kijiti yafaa kionyeshe
joto la kutosha kinapoguswa kwa mkono, la
sivyo kuoza bado hakujaanza kufanyika. Katika
hali kama hii, maji ama hewa itahitajika kwenye
biwi na biwi kuachwa kwa muda. Ikiwa biwi lina
joto jingi, biwi linaoza basi viumbe hai wanaweza
kufa. Katika hali hii, hewa na maji itabidi
kuongezwa ili kufanya biwi lipoe. Kiasi cha joto
yafaa kupimwa mara kwa mara kwa kutumia
kijiti.
Chini ya 57C
Joto hili linaweza kuivisha mboji lakini
haliwezi kuua mbegu za magugu na
magonjwa.
57-71C
Joto muafaka kwaajili ya kuivisha mbojj
na kuua mbegu za magugu na
magonjwa. Katika kiwango hiki cha
joto, mbegu zote na vijimelea vyote vya
magonjwa vilivyoko kwenye
mchanganyiko wa mboji hufa na hivyo
kutokuwepo pale mboji inapokuwa
imeiva.
Zaidi ya 71C
Joto hili ni kali sana na huweza
kusababisha madhara mengineyo kama
vile kuzalishwa kwa gesi zenye madhara
pia wadudu wenye manufaa ambao
husaidia mboji kuiva huweza
kukimbia.
Muhimu kuhakikishakuwa joto halizidi
sana ili kuweza kuwa na mboji bora
yenye virutubisho

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA

JIFUNZE KUFUGA KIBIASHARA HASA KWA WAFUGAJI WA KUKU KWA YOYOTE ATAKAYE HITAJI TEMPLATE HII NA ZINGINE ANITAFUTE KWENYE NO 0756841313