UTANGULIZI
koroshoo ni zao ambalo chimbuko lake ni Portuguese na baadae 16
century ndipo lilipo fika africa katika nchi ya mozamboque na baadae
likafika Kenya na Tanzania.
kwa hapa Tanzania korosho ulimwa na kustawi vizuri katika mikoa ya
kusini Mtwara, lindi, na maeneo kama Mafia, bagamoyo na Rufiji.
mvua; korosho ustawi vizuri kwenye maeneo yenye mvua 840mm - 1250
mm wastani wa mvua kwa mwaka,
napia hukua vizuri kwenye maeneo 0- 500 m kutoka usawa wa bahari.
udongo; korosho ukua vizuri kwenye maeneo yenye PH 5.6 udongo wa
kichanga (sandy) na pia udongo mfinyazi kichanga.
KUANDAA SHAMBA
kama mazao mengine shamba la korosho linatakiwa kusafishwa,
kusawazishwa nakutifuliwa vizuri kwaajili ya kupanda korosho.
nakatika mashimo utakayo chimba unaweza kuweka mbolea ya ngombe
ukachanganya na udongo mapema ili kuongeza rutuba.
KUPANDA
Ni muhimu sana kuchagua mbegu bora kwa kua mbegu utakayo panda
ndo itakuonesha kiasi gani utavuna,
baada ya kununua mbegu unachukua maji na chumvi 100g
ya chumvi unaweka katika maji kiasi cha lita 5 unakoroga
vizuri na unachukua mbegu zako unaweka kwenye maji hayo
zile zitakazo zama ndio mbegu zenye uwezekano mkubwa wa
kiota,
baada ya hapo unazianika vizuri hili ziweze kukauka
napia unashauriwa kuto panda mbegu zenye umri zaidi ya mwaka mmoja,
nafasi ya kupanda 12m x 6m kwenye maeneo mvua na kiasi cha miti
kitakua 139/hectare
kwenye maeneo yasio na mvua za kutosha ni 12m x 12m na kiasi cha miti
ni 69/ hectare
MUHIMU
Kuna aina mbili ya kupanda mbegu ya korosho
kupanda moja kwa moja; hii ni njia mambayo ni risk sana
na inaitaji umakini kwa sababu kunauweze3kano mkubwa wa
mbegu kufa. ukitumia njia hii unatakiwa kupanda mbegu tatu
3 katika shimo moja na baada ya miezi mi 3 - 4 ngoa mimea
na bakiza mmoja wenye afya na muonekano mzuri.
njia ya kitaru; hii ni njia ya pili na ni nzuri kwa sababu
unakua huru kuchagua mche ambao umestawi na ulio na
muonnekano mzuri , unatakiwa kuamishia miche shambani
ikiwa na umri wa wiki 6 na zingatia kuchagua mche wenye
afya.
na baadae unatakiwa kupunguza majani urefu wa sm60- 90 kutoka
kwenye ardhi na pia ondoa majani yote ambayo yanaonekana kuadhiliwa
na magonjwa au wadudu na yale yalio kauka.
MAGONJWA NA WADUDU
MAGONJWA
Anthracnose
powdery mildew
hayo ni magonjwa yanayo athiri thana korosho
WADUDU
Cashew stem girdler
cashew weevil
coconut bug
heliotropes bug
meal bug
trips aphids
KUZUIA NA TIBA
ili kuzuia maagonjwa na wadudu unatakiwa
palilia mapema
weka shamba katika hali ya usafi
tumia mbinu ya kuchanganya mazao kwa korosho unaweza
kuchanya pamba au maharage hiyo inasaidia kukimbiza
wadudu wengine ambao wanakua hawapatani na mazao hayo
tumia pesticide kutibu magonjwa
tumia insecticide kuuwa wadudu waalibifu.
KUVUNA
Korosho ufikia hatua ya kuzaa matunda pale inapo kua na umri wa miaka
2 1/2 hadi miaka mitatu
napia matunda ukomaa pale inapo kua na miaka 9 hadi 10
uwezekano wa mkoroso kuishi ni miaka 30 hadi 40
na kuvuna hua kunaanza mwezi october hadi mwezi december
MATUMIZI
chakula
hutumika kutengeneza rangi
kama zao la biashara
miti yake hutumkia kama kuni
kutengeneza dawa e.t.c
Jumapili, 28 Januari 2018
Kilimo cha korosho
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA
JIFUNZE KUFUGA KIBIASHARA HASA KWA WAFUGAJI WA KUKU KWA YOYOTE ATAKAYE HITAJI TEMPLATE HII NA ZINGINE ANITAFUTE KWENYE NO 0756841313

-
MAAJABU YA MKOJO WA SUNGURA Licha ya kuwa wafugaji wengi wamekuwa wakifuga kwaajili ya nyama, zao la Mkojo wa Sungura kwa faida yake pengin...
-
Rutuba ya udongo inafafanuliwa kwa uwezo wake wa kutoa virutubisho vyote muhimu. Hii ni kwa kiasi kinachotosheleza na katika urari sahihi k...
-
UTANGULIZI koroshoo ni zao ambalo chimbuko lake ni Portuguese na baadae 16 century ndipo lilipo fika africa katika nchi ya mozamboque na b...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni