Jumapili, 21 Januari 2018

SULUHISHO KWA MKULIMA WA MAHINDI

AUXO ni kiuagugu chenye wigo mpana wa kudhibiti magugu nyasi na yale yenye wigo mpana kwenye mahindi baada ya magugu na zao kuota
kiuagugu hiki kina viambata amilifu vifuatavyo
1.tembotrione
2.bromoxynil
3.isoxadifen

jinsi kiuagugu kinavyofanya kazi
1.tembotrione hufanya kazi kwa kuingilia mfumo wa vimengenya vinavyosababisha mimea kutengeneza ukijani ambavyo vinaharibiwa na kuruhusu mwanga mkubwa kupenya ndani ya majani na kuyababua

2.bromoxynil inafanya kazi kwa mguso kwa kuingilia usanisi nuru ambapo mfumo wa ukuaji wa mmea hudhurika na mwishowe hufa

3.isoxadifen iliyosajiliwa na bayer pekee ni kinga salama inayozuia mahindi yasidhulike

dawa hii inadhibiti magugu yote ya kawaida na kudumaza ndago kwenye zao la mahindi hasa kama ikitumiwa kwa vipimo vilivyopendekezwa wakati magugu ni machanga na yanakuwa kwa upesi

kwa matokeo bora
1.tumia maji lita 80 adi 120 kwa ekari ili kulowanisha magugu vizuri
2.piga dawa wakati upepo umetulia ili kuepusha dawa kupepelushwa
3.usipige dawa kama mvua inatarajia kunyesha ndani ya masaa ma wili
4.piga dawa wakati magugu ni machanga

FAIDA ZA AUXO
. inaua magugu ya majani mapana na nyasi
. inadhibiti ndago
. uthibiti wa magugu bila kuleta madhara kwa zao

je unaijua dawa ya THUNDER suluhisho kwa wakulima wa mahindi ambao wanasumbuliwa na wadudu wafuatao katika mazao yao
. minyoo wa ardhini
. viwavijeshi
. bungua
. kimamba
. vithiripi

THUNDER ni kiatilifu chenye wigo mpana wa kudhibiti wadudu wanaofonza na kung'ata.
. ufanisi wa kufanya kazi ina muunganiko wa nyia ya mpenyo na mguso na kumuadhiri mdudu kwenye ulaji.
. inafanya kazi haraka na inadumu kwa muda mrefu

kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba za simu
0758583098/0787794298
au whatsapp no 0758583098

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA

JIFUNZE KUFUGA KIBIASHARA HASA KWA WAFUGAJI WA KUKU KWA YOYOTE ATAKAYE HITAJI TEMPLATE HII NA ZINGINE ANITAFUTE KWENYE NO 0756841313